News

Dansa maarufu nchini Ahmed Mohamed Makambi ‘Dummy Utamu’ anasimulia tamu na chungu za kufanya kazi na msanii wa kimataifa wa ...
Serikali imepongeza mchango wa shule binafsi katika elimu na imezitaka shule hizo kwenda sanjari na mabadiliko ya teknolojia ...
Zaidi ya wanafunzi 200 wanatarajiwa kusafiri kwenda masomoni kwenye mataifa mbalimbali kwa mwaka wa masomo wa 2025/2026 hivi ...
Msanii wa muziki wa Singeli ambaye pia ni Dj wa kimataifa, Dj Travella ameweka wazi safari yake ya mafanikio katika muziki ...
Kuuawa kwa Saeed Izadi, limeelezewa kuwa pigo kubwa kwa Iran, ambayo tayari imekwishawapoteza viongozi wa ngazi ya juu na ...
Baada ya mafunzo ya siku kumi, ngombe 11 kati ya 16 walianza kwenda chooni peke yao katika 75% ya visa vilivyofuatiliwa, wakiwa na akili zaidi kuliko watoto wa kibinadamu. "Walichukuliwa haraka ...
Speaker Moses Wetang'ula of the National Assembly blasted Githunguri MP Gathoni Wamuchomba for being rude to Kikuyu MP Kimani ...
Wabunge wa Uingereza wamepitisha mswada wa kihistoria mnamo Ijumaa, Juni 20, katika usomaji wa pili, wa wagonjwa mahututi ...
Washington inataka kupanua orodha ya marufuku ya kusafiri kwenda Marekani. Serikali ya Marekani inaripotiwa kufikiria kuweka ...
Waziri wa Ulinzi wa Japani, Nakatani Gen, ameamuru ndege ya Vikosi vya Kujihami vya nchi hiyo, SDF, kuwa tayari katika kituo cha SDF kilichopo Djibouti kwa ajili ya kuwahamisha raia wa Japani na famil ...
Samuel Omondi Okoth, a 21-year-old protester, is clinging to hope at the Kenyatta National Hospital (KNH) after surviving a ...
KIPA Emiliano Martinez amepanga kulazimisha dili la kwenda kujiunga na timu ya ndoto zake, Manchester United, imeelezwa.